Kamanda wa Polisi Mkoa, SACP Safia Jongo akizungumza.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limesema kuwa Machi 29, 2026 saa nne asubuhi lilitokea tukio la kutitia kwa Maduara manne ya uchimbaji madini katika Mgodi wa dhahabu wa Msasa uliopo Kata ya Runzewe wilayani Bukombe mkoani humo.
Mmoja wa...