Mwakilishi wa ACT-Wazalendo wa Jimbo la Gando Pemba, Said Ali Mbarouk ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia nafasi za uwakilishi, ameitaka Serikali ya Muungano kufanyia marekebisho utaratibu wa Zanzibar kukopa fedha kwa ajili ya maendeleo.
Akichangia mjadala...