Mwanasiasa wa chama cha Republican nchini Marekani, Solomon Pena, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi wa jimbo la New Mexico mwaka 2022, amehukumiwa kifungo cha miaka 80 jela kwa kuandaa mashambulizi ya risasi kwenye nyumba za maofisa wa chama cha Democratic. Mashambulizi hayo yalifanyika katika...