Mmiliki wa Azam FC, Jamal Bakhresa, amesema yupo tayari kuiondoa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara na kuihamishia Zanzibar, akidai kuwepo kwa ukosefu wa haki katika uendeshaji wa ligi.
Bakhresa amesema uamuzi huo
unatokana na kile alichodai kuwa ni waamuzi kutotenda haki katika baadhi ya...