Meya Jerry Silaa akiwa anafungua gari lake aina ya Toyota IST alilofanikiwa kulinunua hivi karibuni tu ambalo limegharimu muda mrefu kulipata gari hilo ambapo anasema lilikuwa ni ndoto yake muda mrefu kwani amekuwa hana gari na amekuwa akitumia gari la serikali na kwa muda mwingine inamlazimu...