Watalii wallopo ndani ya nchi ambao walichukua line za simu nao hali mbaya.
Mfumo wa Immigration hausomeki kule NIDA na makampuni ya simu nao wanasema hawaoni kitu. Sisi ambao tuko kwenye sekta ya utalii tunashindwa kuelewa tatizo liko wapi.
Watalii walipo ndani ya nchi wakienda kusajili line...