humphrey polepole atekwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mama Polepole amefika mahakama kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam

    Kesi ya jinai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole kupitia Wakili wake Peter Kibatala, inaendelea leo, Jumatano Oktoba 15.2025, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam Katika kesi hiyo ambayo inasikilizwa chini ya...
  2. Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Baada ya tukio linalodhaniwa la kutekwa polepole wakili msomi alitakiwa kufanya kilakitu kuhakiki ukweli wa taarifa mfano. 1. Kwenda eneo la tukio na kupata ushaidi mfano. A. Kuna camera B. Damu ilitapakaa pale ni ya polepole kweli na sio ya mbuzi au kuku. C. Kutafuta wapelelezi binafsi ili...
  3. Maria Sarungi: Tetesi zinasema Polepole kusafirishwa visiwa vya Comoros

    Bado siamini kabisa kama Polepole katekwa ila unyama huu wanaoendelea kuufanya hawa watu ipo siku yao inakuja kabisa na wao watalia na kusaga meno. Utawala unamwisho wake ===================== Mdau amenisukumia taarifa hii na ni mtu mwenye taarifa za kuaminika ila sijathibitisha na independent...
  4. Watu tumekosa usingizi kutokana na uchungu wa kutekwa Polepole, Gen Z msipotoka kuandamana mtakuwa mmeliangusha taifa!

    Aloooo, Kama ulikuwa hujali wala huumizwi na matukio ya utekaji, na kuona hayajuhusu nadhani hilo limebadilika kuanzia jana. Nimepita mtandaoni maoni yanafanana, watu tumeshindwa kulala, usingizi unakuja wa mang'amung'amu, moyo unauma kama vile aliyetekwa ni mtu wako wa karibu. Unajikuta...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…