Katika vita vya siasa kwa sasa ni vita kati ya wananchi na CCM
Katika vita hivi tasisi kazaa za kidini zinatoa maoni yao juu ya ili tumeona baadhi ya wakristo wakiwa upande wa serekali na baadhi yao wakiwa upande wa wananchi.
Ivo ivo kuna baadhi ya waislam tumewaona wakiwa upande wawananchi na...