Wakuu habari,
Najaribu kufikiria haswa sababu iliyopelekea serikali kupiga marufuku hiace na kuruhusu bajaji.
Kwa tathimini ya haraka haraka bajaji ndio chanzo kikuu cha foleni.
Mfano: bajaji moja inabeba watu watatu kwenye kituo cha bus zikikaa bajaji nne ambapo ratio yake jumla ni watu 12...