hatma ya elimu tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mfumo wa elimu ubadilishwe. Je, unataka uweje?

    Kila kona ya nchi watu wanalalamikia mfumo wetu wa elimu. Kama ni elimu ya vitendo hata VETA ipo. Je, wewe ungepewa nafasi ya kubadilisha mfumo wa elimu ungefanya nini?ungeboresha nini? Weka hoja ya msingi tafadhali.
  2. J

    SoC04 Mfumo wa elimu ya juu nchini na hatima ya wahitimu kuijenga Tanzania tuitakayo

    HALI ILIVYO NA MAMBO YA KUANGAZIA: Bado kuna ombwe kubwa la kutofautiana katika ujuzi na maarifa miongoni mwa baadhi ya wahitimu wa vyuo tofauti waliosomea shahada zinazoshabihiana. Aidha wanafunzi wengi wa vyuo vikuu na wahitimu wa vyuo hivyo wamechagua au wamesomea shahada za fani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…