HAKUNA JAMBO GUMU SANA KAMA KUPAMBANA NA MWENYE HAKI
Na, Robert Heriel
Kwa kweli kuna mambo magumu Sana Duniani lakini gumu kuliko yote ni kupambana na Mwenye haki.
Tena kuna mambo rahisi Sana duniani, lakini rahisi kuliko yote ni kupambana na muovu.
Hakuna Jambo rahisi Kama kupambana na mtu...