Mwenyekiti wa Taasisi ya Taifa ya Taaluma ya Madereva Tanzania (TATAMATA), Godlove Materu ameachiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kukamatwa tangu Februari 5, 2026.
Taarifa iliyotolewa na Wakili wake, Aloyce Komba kutoka Haki Kwanza Advocates leo Februari 12 imesema Materu ameachiwa huru baada...