godlove materu akamatwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Wakili wa Godlove Materu awahoji polisi maswali matano; kwanini walimkamata bila kutoa taarifa?

    Muda mfupi baada ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kukiri kumshikilia, Godlove Materu, wakili wake, Aloyce Komba amelihoji Jeshi la Polisi maswali matano, akisema taarifa hiyo: Soma pia: Madereva wa malori waipa Serikali siku 2 mwenzao apatikane 1. Wanamshikilia katika kituo gani cha polisi...
  2. Tunduma: Polisi wakiri kumkamata Dereva wa Malori. Yadaiwa alipanga kufanya uhalifu

    Wakuu, Chama cha Madereva wa Malori kilitoa tamko ikiwa mwenzao hajapatikana ndani ya siku 2 kuanzia Jumapili wangefanya mgomo, hii ni baada ya mwenzao kudaiwa kuchukuliwa na watu waliojitambulisha kuwa polisi, ambapo jitihada za kumtafuta katika vituo mbalimbali hazikuzaa matunda. Baada ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…