Umoja wa Mawakili wa Afrika (PALU) umetoa taarifa kulaani kukamatwa kiholela na kufukuzwa kwa mawakili wawili wa Kenya Martha Karua na Gloria Kimani pamoja na mwanaharakati Lynn Ngugi, walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Watatu hao walikuja...