geofrey kiliba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Kiliba: Je, Mikakati na mbinu za wanaharakati za Oktoba 29 zilisaidia kupata mwarobaini wa matatizo yetu?

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 14, 2025 amehoji mikakati na mbinu za wanaharakati za Oktoba 29 kama ilileta mwarubaini wa chanagamoto zinazowakabili wananchi na taifa kwa ujumla kama...
  2. R

    GE2025 Kiliba: Oktoba 29 tutarusha makombora kuwajibu wahuni wanaotaka kuvunja amani

    Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan: --------------- Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia...
  3. GE2025 Kiliba: Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini watangaza kuwa mabalozi wa amani

    Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu nchini Tanzania wametangaza kuwa mabalozi wa amani na usalama wa Tanzania wakati huu ambapo Taifa linajiandaa kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ili kila Mtanzania apate haki ya kumchagua Kiongozi wamtakaye bila ya hofu ama wasiwasi kuhusu usalama na...
  4. GE2025 Kiliba: Wanaohamasisha maandamano si wenzetu, bali ni wahuni tu, na tutawakabili kwa kila namna

    Geofrey Kiliba, Rais wa Jumuiya ya Taasisi za Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), amesisitiza kuwa wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu kote nchini watashiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
  5. GE2025 Kiliba wa TAHLISO: Ni muhimu kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi walio bora bila kujali hisia na mihemko

    Wakuu, Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amewataka vijana nchini kutambua nafasi yao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akisema matokeo ya uchaguzi huo yatakuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wao. Akizungumza katika kipindi cha...
  6. R

    GE2025 CHASO yapanga kumfungulia Kesi Rais wa TAHLISO, Geofrey Kiliba kwa kukiuka misingi ya Katiba ya umoja wa wanafunzi vyuo vikuu

    Mwenyekiti wa CHASO (CHADEMA Student Organization) mkoa wa Dar es Salaam Martin Samson Abduli ametoa tamko kwa waandishi wa habari akilalamikia mwenendo wa Rais wa TAHILISO Geofrey Kiliba akidai kuwa unakiuka misingi ya Katiba ya umoja huo wa wanafunzi wa vyuo na vyio vikuu nchini Akizungumza...
  7. Kiliba: Askofu Gwajima kuzungumzia Utekaji yuko sahihi kwa Asilimia 100

    Akizungumza na kituo cha Clouds Redio, leo Agosti 21, 2025 Rais wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Tanzania TAHLISO Geofrey Kiliba amesema anayofanya Askofu Josephat Gwajima ikiwa ni pamoja na kuzua taharuki vinamuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa Dini, na alipoulizwa kuhusu kama ana kubaliana na...
  8. GE2025 Kiliba: Tutamlinda na kumtetea rais Samia

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa elimu ya Juu nchini TAHLISO na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama asemewe Geofrey Kiliba amehoji uhalali wa baadhi ya wananchi wanaomtusi na kutoa lugha za fedheha kwa Viongozi wa serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu na...
  9. Gwajima: Baada ya siku kumi ukirudi, muumini wako naye katuahidi kurudi!

    Baada ya mahakama kuamua tusiendelee kuuona "ingia kati tuyaone malingo yako, bingiribingiri mpaka mpaka chini" anazochezeshwa Lissu, sinema nyingine ya Gwajima vs Muumini wa Gwajima itaanza rasmi baada ya siku kumi. Kiliba kesharudisha mpira kwa Bishop, tuendelee kusubiri kama Bishop...
  10. Kiliba: Kesho nitaongea mambo nyeti na muhimu kwa maslahi ya taifa

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi na Taasisi za Elimu, Ndugu Geofrey Kiliba, ametangaza kuwa atazungumza na vyombo vya habari siku ya kesho, tarehe 18 Agosti 2025 Katika taarifa yake kwa umma aliyoitoa kupitia mitandao Yake ya Kijamii leo, tarehe 17 Agosti 2025, Ndugu Kiliba ameandika: “Panapo...
  11. Rais wa TAHLISO Geofrey Kiliba: Tuwakemee wanaotishia amani ya Tanzania

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Tanzania TAHLISO Bw. Geofrey Kiliba amesisitiza umuhimu wa Wasomi na Vijana waliopo vyuoni kukemea, kukosoa na kushauri kwa kutumia maarifa na taaluma zao katika kuijenga Tanzania na kuepusha waharibifu wanaotishia kuharibu misingi ya amani...
  12. GE2025 Katibu Mkuu, TAHLISO: Malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uongozi na Katiba dhidi ya Rais Geofrey Kiliba kwa upendeleo wa Kisiasa

    Mimi, Dickison Damasi, mwanachuo katika moja ya Vyuo vilivyopo Dar es Salaam na mwanachama hai wa TAHLISO, napenda kuwasilisha malalamiko rasmi dhidi ya Rais wa sasa wa TAHLISO, ndugu Geofrey Kiliba, kutokana na madai ya kuhusika moja kwa moja na shughuli za chama fulani cha siasa kinyume na...
  13. GE2025 Rais wa TAHLISO: Hakuna wa kuturudisha nyuma mwaka huu, tutafanya vile Katiba inatutaka tufanye

    Rais wa jumuiya ya wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania Bwana Geofrey Kiliba asema kwamba Mwaka 2025 ni mwaka wa Uchaguzi na hakuna anayeweza kurudisha nyuma Watanzania katika kushiriki mchakato huo muhimu ndani ya Taifa. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  14. PreGE2025 Geofrey Kiliba wa Mama Asemewe: Vyama vinapaswa kufikisha sera zao kwa kutumia lugha nzuri, sio kiongozi kila mda anafoka

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini Geofrey Kiliba awaambia Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu kuwachagua viongozi wanaotumia lugha nzuri ili kufikisha ujumbe au sera zao kwa wananchi si viongozi wanaotumia lugha za matusi. Kiliba aliyasema hayo katika Kongamano la Mama...
  15. W

    PreGE2025 Kiliba: Tunahitaji kiongozi wa kutuletea maendeleo

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini Geofrey Kiliba awaambia Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu wakemee wanaotaka kuvuruga Amani ya Nchi. Kiliba ameyasema hayo katika Kongamano la Mama asemewe lililofanyika mkoani Iringa.
  16. PreGE2025 Geofrey Kiliba: Wanaokosoa ziara za TAHLISO huenda wana uelewa mdogo tunachokifanya ndio msingi wa utatuzi wa changamoto za Wanavyuo nchini

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya juu nchini Ndg Geofrey Kiliba amewajibu wale waliokosoa ziara yao kama taasisi kutembelea wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mikoani, wamesema wanachokifanya ndio msingi wa utatuzi wa changamoto za Wanavyuo nchini. Ndg Kiliba amesema katika kazi...
  17. PreGE2025 Mwenyekiti wa kampeni ya Mama Asemewe azindua kampeni ya "Wiki ya Mama" kuthamini juhudi za Rais Samia

    Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe, Geofrey Kiliba wikiendi hii alizindua kampeni mpya aliyoiita "Wiki Ya Mama" kwa ajili ya kutathmini na kuthamini juhudi za Rais Samia Mwenyekiti huyo ameainisha kuwa Machi 19, 2025, lengo la kampeni hiyo ya "Wiki Ya Mama" ni kuthamini miaka minne tangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…