Tunatafuta fundi pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Location: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam.
Utapata mshahara wa kuanzia kwa miezi 3, kisha tutaendelea na makubaliano kulingana na maendeleo ya biashara.
📞 Uko tayari? Piga simu 0657 736...