dkt. biteko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PostGE2025 Kilichomponza Dkt. Biteko ni kusema ukweli kura alizopata ni elfu 7, wakati wenzie waliiba kura vibaya sana

    Kuna huyu jamaa Kumbusho Dawson ametoa sababu za Dotto Biteko kutupwa nje ya baraza la mawaziri ambalo pia ni haramu tu! Dotto Mashaka Biteko ameachwa nje ya Baraza Jipya la Mawaziri. Dotto Biteko alihudumu kama Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati kabla ya kutupwa nje ya baraza lililo...
  2. Dkt. Biteko: Naipongeza REA kwa kukamilisha mradi wa kufikisha umeme vijiji vyote 12,318 na sasa ni zamu ya vitongoji

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kukamilisha lengo la usambazaji Umeme katika Vijiji 12,318 Nchini na kwa umahiri wake katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Ametoa pongezi hizo...
  3. GE2025 Dkt. Biteko akiomba kura za wajumbe, asema 'Moyoni mwangu ninalo deni kubwa sana la kufanya kazi zaidi'

    Mbunge wa Jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake, Dkt. Doto Mashaka Biteko ambaye ameomba tena ridhaa ya kutetea kiti hicho, ameeleza furaha na shukrani aliyonayo kwa Wananchi wa Bukombe kufuatia ushirikiano waliompa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Dkt. Biteko amesema hayo Agosti 2...
  4. Dkt. Biteko: Wanahabari wana kazi ya kupambana na taarifa potofu ili jamii ipate taarifa sahihi

    Ujumbe wa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko, unasisitiza na kuwakumbusha waandishi wa habari kuhakikisha wanadhibiti Taarifa zisizo za kweli na kutoa zile zilizo sahihi ili kuwawezesha wananchi kufanya maamuzi sahihi kutokana na Taarifa sahihi. Ni muhimu kuthibitisha kila...
  5. Dkt. Biteko: Rais Samia anachukizwa Haki za Kidini zikipuuzwa

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan anasikitishwa anapoona haki za kidini zinapuuzwa na anapenda kufanya kazi na viongozi wa dini na akiwaalika ili kuzungumza masuala mbalimbali ya kitaifa. "Mheshimiwa Rais Samia anapenda kufanya kazi na...
  6. Dkt. Biteko azindua mkakati wa taifa wa mawasiliano wa nishati safi ya kupikia

    DKT. BITEKO AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA πŸ“Œ Aagiza usiishie kwenye makabati; ukatekelezwa katika ngazi zote za Serikali/Wadau πŸ“Œ Atoa wito kwa vyombo vya Habari kuwa mstari wa mbele uhamasishaji wa Nishati Safi ya Kupikia πŸ“Œ Asema Ajenda ya Rais Samia...
  7. PreGE2025 Dkt. Biteko: Milango ya Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana

    "Niwahakikishie kuwa milango ya Mhe. Rais Samia iko wazi, anataka Tanzania moja ya watu wanaopendana na kushirikiana ili kuifikisha nchi mbele kimaendeleo,” amesema Dkt. Biteko Ametaja jitihada za Rais Samia kwaajili ya kuleta amani, umoja na ushirikiano nchini kuwa ni pamoja na mikutano yake...
  8. Dkt. Biteko: Matumizi ya Nishati safi ya kupikia kufikia 75% mwaka 2030

    MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIA 75% MWAKA 2030 - DKT. BITEKO πŸ“Œ Dkt. Biteko akutana na Balozi wa Japan nchini πŸ“Œ Tanzania na Japan kuendelea kuimarisha ushirikiano wake πŸ“Œ Dkt. Biteko aishukuru Japan kufadhili mradi wa umeme Singida Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati...
  9. Dkt. Biteko alitaka shirika la maendeleo ya petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia

    πŸ“Œ Asema lengo ni kuendelea kuwa na uhakika wa usalama wa nishati nchini πŸ“Œ Azindua Mkakati wa Kwanza wa Muda mrefu wa Shirika (2025-2050) πŸ“Œ Asisitiza Jamii zinazozunguka miradi ya Mafuta na Gesi Asilia kutopuuzwa πŸ“Œ Apongeza Bodi na Menejimenti ya TPDC kwa kuipambanua Tanzania kama kitovu cha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…