dc shaka

The McDonnell Douglas MD-11 is an American tri-jet wide-body airliner manufactured by American McDonnell Douglas (MDC) and later by Boeing.
Following DC-10 development studies, the MD-11 program was launched on December 30, 1986.
Assembly of the first prototype began on March 9, 1988. It rolled out in September 1989 and made its maiden flight on January 10, 1990. FAA certification was achieved on November 8. The first delivery was to Finnair on December 7, 1990, and it entered service on December 20.
It retains the basic trijet configuration of the DC-10 with updated GE CF6-80C2 or PW4000 turbofan engines. It has a slightly wider wing with winglets, and its MTOW was increased by 14% to 630,500 lb (286 t). Its fuselage is stretched by 11% to 202 ft (61.6 m) to accommodate 298 passengers in three classes over a range of up to 7,130 nmi (13,200 km). It features a glass cockpit that eliminates the need for a flight engineer.
The MD-11 failed to meet its range and fuel burn targets. The last of 200 aircraft was built in October 2000 after Boeing merged with McDonnell Douglas in 1997.
Some MD-11 freighters were built, but many more are converted MD-11 passenger aircraft, many of which are still in service with cargo airlines.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    DC Shaka: Usalama ni nguzo ya maendeleo

    PICHA: Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka akikagua gwaride la Amani. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka leo amehitimisha na kufunga mafunzo ya wiki miezi 4 ya askari 114 mkupuo wa 20 wa jeshi la Akiba yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Mvumi. Akizungumza na...
  2. DC Shaka: Hakuna atakayemwaga damu ya Mwanakilosa mwenzake tena, sio damu tu hata wa kumwaga Mkojo hapa hayupo tena-VIdeo

    Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro Mhe Shaka Hamdu Shaka asema hayuko tayari chini ya Uongozi wake wa Wilaya ya Kilosa kuona Wilaya hiyo ikirudia historia yake ya nyuma, Akiongea na Wananchi wa Kata ya Tumbatu mahali palipotokea mgogoro wa Kimipaka ngazi ya Vijiji na Vitongoji, DC...
  3. PICHA: Ninadra sana DC au RC kupendwa na Wananchi namna hii

    UTANGULIZI; Hii Wilaya hapo zamani hakuni siku ilipita bila wakulima na Wafugaji kuchomana mikuki na kukatana mapanga, Ukweli usemwe tangu kiongozi huyu akabidhiwe Wilaya hii mambo ni shwari mpaka tunajiuliza Kilosa nini kimefanyika? Hakika Uongozi ni kipaji na uwezo Kwa pamoja. == Mkuu wa...
  4. DC Shaka awabana 2 uuzaji wa ardhi ya kijiji, Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

    DC Shaka awabana 2 Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi wilayani kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko) mwenzake, Awadh Ngajime kwa tuhuma za kuuza ardhi (eneo la mlima) mali ya kijiji cha Msowero, wilayani...
  5. J

    Kimeumana DC Shaka ageuka mbogo ujenzi wa ICU hospitali ya wilaya Kilosa

    KIMEUMANA DC SHAKA AGEUKA MBOGO UJENZI WA ICU HOSPITALI YA WILAYA KILOSA Na Mwandishi Wetu. Kilosa -Morogoro MKUU wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi (ICU) katika hospitali ya Wilaya hiyo...
  6. DC Shaka: Nitahakikisha Watendaji wote wa Serikali ambao ni wanufaika au chanzo cha migogoro baina ya wakulima na wafugaji wanachukuliwa hatua Kali

    Tumejipanga na tunakuja na mkakati kabambe kumaliza Migogoro ya wakulima na wafugaji alisema Shaka, Kwa msisitizo alisema, Nataka tuandike pamoja historia ya kumaliza kabisa changamoto ya migogoro hii Kilosa. Namimi nikiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hii nitaanza na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…