Wakuu baada ya Jaji Warioba kueleza kuwa watu waliofariki Oktoba wakati wa maandamano ni wengi kuliko waliofariki kwenye vita ya Kagera Mchungaji Daudi Mashimo ameibuka na kohoji ni wapi Jaji Warioba alipozipata takwimu hizo?
"Watu waliokufa mpaka sasa Tanzania hakuna mwenye takwimu kamili...