Kupanda kwa bei ya mafuta hususani petroli, makali yameanza kung'ata jijini Mbeya baada ya usafiri wa daladala kuweka 'mgomo' kutoa huduma huku wananchi wakilia na nauli za bajaji zilizofikia Sh2,000 kutoka Sh800 za awali.
Mbali na wananchi, wapiga debe nao wamepaza kilio chao wakieleza kuwa...