Serikali ya Kaunti ya Nairobi imeitaka Communications Authority of Kenya (CA) kuchunguza malalamiko kuhusu baadhi ya content creators wanaodaiwa kutengeneza na kusambaza maudhui ya watu wazima pamoja na kufanya livestreams zinazotajwa kuwa na madhara, hasa kwa watoto na vijana.
Katika barua ya...