Katibu Mkuu wa Chama cha Maarifa, Kilimo na Nishati (Makini), Ameir Hassan Ameir, amesema endapo wananchi watamchagua mgombea wa urais wa chama hicho, Coaster Kibonde, serikali yao itatoa laki moja kila mwezi kwa wazee wote wa Tanzania
Hayo yalielezwa jana wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama...