chaguzi kuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Polepole aliwahi kusema CCM itatawala miaka 70 sioni hili likitokea hata miaka 5 ijayo

    Uchaguzi wa 2020 ulikuwa uchafuzi na mpaka Leo uchaguzi ule ni maarufu Kwa jina la uchafuzi. Uchaguzi huu wa 2025 mpinzani mkuu na chama chake mmewafanyia hila na kuwaweka ndani ili mgombee peke yenu matokeo yake uchaguzi umedharauliwa. Hizi ni hatua za mwisho za kuitamatisha CCM kwani...
  2. Vyama vyenye maono ya mbali kama CCM, tayari vina succession plan ya possible candidates wa urais, ubunge na udiwani katika chaguzi kuu za hadi 2100

    Kwa structure yake ya uongozi wake wa kitaifa na jumuiya zake ulivyo, ni wazi succession plan ndani ya CCM ni very active practical. Na ni vizuri ikafahamika kwamba, mambo haya ya succession plan, hufanywa na visionary political parties pekee, ikiwa ni pamoja na CCM, wakati vyama vingine vya...
  3. PreGE2025 Nini kifanyike kudhibiti pesa chafu na rushwa kiujumla kwenye chaguzi kuu za nchi nyingi za Afrika?

    Nilikuwa najiuliza kwanini watu wengi husema kuwa kama usipomalizia Kibanda chako au usipojenga Kipindi cha Uchaguzi Mkuu (hasa katika Nchi za Afrika) basi sahau tena kujeng. Kwani Kipindi hicho Pesa zinakuwa nyingi na za Kumwaga huko Mitaani ila sasa nimeshaelewa walichokuwa wakikimaanisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…