Benjamin William Mkapa (12 November 1938 – 24 July 2020) was the third president of Tanzania, in office from 1995 to 2005. He was Chairman of the Revolutionary State Political Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).
Hii hapa mechi ya kukamilisha ratiba kwa Simba SC dhidi ya Stade Malien kutoka Mali, ambao tayari wameshafuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) katika Kundi D.
Kwa Simba, huu ni mchezo wa heshima, kwani ushindi utawafanya wafikishe alama 5 badala ya 2...
https://youtu.be/tpj0t6SIreE?si=gsDZm8sHGCJQkYPJ
Katika mkusanyiko huu wa Waislam chini ya Muslim Development Fund (MDF) Mwenyekiti wake akiwa Mzee Kondo, Mzee Kitwana Kondo alisema kuwa nia ya MDF ni kuwa na Chuo Kikuu na kujenga shule nchi nzima.
Maneno haya Mzee Kondo anawaambia Waislam na...