bakari shingo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bakari Shingo ashindwa kuendelea kwenye kinyang'anyiro kwa kushindwa kukidhi kigezo cha lugha ya Kiingereza

    Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bakari Shingo, amejiondoa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi za uwakilishi wa Tanzania kwenye taasisi muhimu za kimataifa za mabunge baada ya kushindwa kukidhi kigezo cha umahiri wa lugha ya Kiingereza wakati wa mchakato wa uteuzi. Uchaguzi huo ulifanyika ili...
  2. PostGE2025 Jerry Silaa Waziri pekee aliyeshindwa kutetea Jimbo, Bakari Shingo mbunge mteule wa jimbo la Ukonga

    Katika jambo ambalo halikutarajiwa katika jimbo la Ukonga na wachunguzi wengi na watafiti wa siasa ni kitendo cha Mhe.Jerry William Silaa na aliyekuwa Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya Habari kushindwa kutetea jimbo lake mbele ya Bakari Shingo, aliyekuwa mgombea ubunge wa Act katika...
  3. W

    GE2025 Mgombea ubunge Ukonga (ACT): Hatugombei kwa bahati mbaya, tumegombea kwa sababu tumevurugwa. Kijana tuliyemuamini ameshindwa kutulipa hisani

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bakari Shingo, amesema uteuzi wake si wa bahati mbaya bali ni dhamira ya chama chake kuhakikisha changamoto zinazowakabili wananchi wa Ukonga zinapatiwa ufumbuzi. Akizungumza Septemba 15, 2025 katika uzinduzi wa kampeni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…