Nimesikiliza hotuba ya Askofu Sylvesta Gamanywa katika kongamano la wachungaji wa Wapentekoste wa Wimbi la Mitume na Manabii na wa CAG
Ninaandika haya si kama mwakilishi wa upande wowote, bali kama muumini wa kawaida, mwinjilisti na mtu anayependa kutafakari kwa kina mambo yanayohusu Kanisa. Kwa...