askofu musomba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PostGE2025 Askofu Musomba: Tumepoteza mwelekeo kwa yaliyotokea Oktoba 29

    Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Lameck Musomba, amesema Taifa limepitia mwaka wenye majonzi makubwa uliodhihirisha kupotea kwa mwelekeo wa maadili na mshikamano wa kijamii, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kurejea kwa Mungu, haki na kuheshimiana ili kulinda amani ya...
  2. Askofu Musomba: Hatuwezi kuhubiri injili pale ambapo haki haitendeki, Tutahubiri habari njema ambapo haki inatendeka

    "Tutahubiri habari njema ambapo haki inatendeka." Mhashamu Stephano Lameck Musomba, Askofu wa Jimbo Katoliki Bagamoyo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…