Mimi ni mzanzibar na mtanzania kadhaalika.... Leo nimeona tena maovu makubwa sana kwa eneo la Malindi zanzibar... Askari wamekua Hawna ubinaadamu wala imani ktk kazi zao..
Askari amenikamata kwasbb anasem nimpta wrong site wakati huo huo mimi naenda kumchukua mgeni wangu kwenye meli...