Akizungumza katika kipindi cha radio Gospel Traxx Clouds FM Apostle Nick Shaboka ametaka Watanzania kwa pamoja kuilinda amani kwani Tanzania ni muhimu kuliko kupigania matakwa au ndoto za mtu mmoja hasa katika kipindi hiki ambapo kumekuwepo kwa taarifa nyingi, ushawishi mwingi na kampeni...