“…sasa leo kinachotokea kwa watu wa chama changu Chadema wanasema no reform no election mnajua imetoka wapi kwenye ile 4R ya mheshimiwa Rais ya tatu…hivi kwa watu kusema wanataka reform ni kosa? Mheshimiwa rais yeye ameridhia kwamba hii nchi kama taifa tuje pamoja tujadili mustakabali wa...