Habari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Nakwenda kuwa msemaji wa Wana Segerea kuhusu changamoto zao"-Agness Kaiza - Mgombea ubunge jimbo la segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA).