Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kusini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Aden Mayala Oktoba 22, 2025 alijiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema amechoshwa na manyanyaso ndani ya kilichokuwa chama chake
Akizungumza Oktoba 22, 2025 katika...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja...