Mwaka jana niliomba chuo na nikapata. Pia niliomba mkopo ila sikupata hata asilimia 0. Kutokana na kutopata mkopo nilishindwa hata kwenda kiripoti chuoni badala yake ilinibidi kujipanga mwaka huu niende kwa kujilopia. Habari ambazo ninazipata ni kwamba mwaka jana data zinasoma kuwa nilipata...
Kulingana na maelekezo waliyoyatoa kwenye website yao ni kwamba admission letters kwa wale wa hapa dsm tunaweza anza kuchukuwa tarehe 29 mwezi wa 9. Je kuna mtu ameshaenda kuchukua????
Habari wannajukwaa wenzangu? Naomba kuuliza. Hivi ni tovuti gani ambayo inaweza nisaidia katika kupata materials kwa ajili ya kufundiaha somo la English kidato cha nne????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.