[wewe kama hujachaguliwa udsm halafu unaponda kuwa eti ni kukopi na kupaste utajiua bure kwa wivu wa ud nakushauri ahirisha mwaka huko uliko apply mwakani lakini sasa itakuwaje wakat una three ya kumi na snane sidhan kama prof.mkandala atakukubalia
kilaza mkubwa wewe
umeshindwa kupata admission ya sheria udsm kwa sababu ya three yako mbovu ya kumi na saba halafu unasema udsm ni kilaza wote wanaochaguliwa saut wamepata four za kumi na nane udsm sheria wanachukua one tu.halafu saut sio chuo ni college tu usifananishe na udsm degree ya sheria ya saut ni sawa...
Watu wanaogopa kucheza kamari ndogo mtu anayoliwa sh.100 wanacheza kamari ya sh.40000 hslb(hii ni pamoja na mms ya kutuma fomu).sijui huo ni ujanja gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.