Aliyekuwa waziri wa viwanda na masoko na mbunge Wa Handeni Dr. Abdallah Kigoda amefariki dunia katika hospitality ya Apollo India. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen
Subiri EL apasue jipu kuwa Richmond ni ya nani! Hukumbuki kikao cha Halmashauri Kuu iliwahi kukaa name EL akamtaka JK awaambie Richmond ni ya nani? JK alishindwa kuendesha kikao ikabidi Mkapa aingilie na kuwa M/kiti. Hapo ikatangazwa kuwa ni marufuku kuzungumzia habari ya Richmond. Magamba kazi...
Ndugu EL katua jimboni kwake kujiandikisha kupiga kura Jana 15.07.15. Naona jimbo linaenda cdm kwa sababu msafara wake umepokelewa na bendera za chama hicho. Hakuongea chochote zaidi ya kusema endeleeni kuwa na imani na chama chenu kisha kuingia kwenye gari na kuondoka na kuwaacha watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.