Serikali kukimbilia mahakamani si suluhisho la mgomo unaoendelea. Hata wakiubana uongozi wa CWT na kuusulubu kwa kadri wanavyoweza, bado haitoshi kuondoa dhana ambayo tayari imejengeka ndani ya walimu ambao ndio wadau wakubwa na si CWT. Ushauri, Serikali iongeze kiwango kinachoombwa na wadau hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.