iv kwel mbona wanasumbua vichwa vya watu?wanatakiwa kuwa specific wanadeal na nn exactly na sio wafanyavyo kwenye hz site za kuheshimika.wajinga sana.......:A S angry:
hey just tulia tena kama msom usiwe na papara,kumbuka interview its all about selling yourself so jua jins ya kujinad we tanzanians tuna tatizo hilo hatuju kujinadi.andaa confidence ya kutosha usipo elewa kitu uliza,halafu sauti iwe kubwa ya kutosha,best of lucky boy.:smile-big:,:busu
jaman msaada hivi swali la mtu kujiintroduce mwenyewe lapaswa kujibiwaje?
na nisaidien link ya kutafuta maswal na majibu ya interview,msaada tafadhali!!!
kwa hilo Nida walikuwa na mahesabu mabaya, next time yapasa wajipange kama fursa zingine zitatokea kuhusiana na jamii.Nachelea kusema kwamba hii ni kwa mkoa wa dsm tu. je mikoa hiyo iliyo baki jee???????????????wachukue hatua mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.