Anaandika mkuu wa kaya! Kinyangesi.
_______________________
Kanuni ya ndoa za sasa:
Mwaka wa kwanza: mume anaongea mke anasikiliza,
Mwaka wa pili: mke anaongea mume anasikiliza,
Mwaka wa tatu: mume anaongea na mke anaongea majirani wanasikiliza,
Mwaka wa nne: mume anaongea, mke anaongea...
HISTORIA YENYE MAFUNZO JIFUNZE KITU.
Kuna mdada alikutana na mkaka wakat wako safarini, yule kaka akamuomba mdada namba ya simu njian akamnunulia kila kitu alichotaka, alipofika stand mkaka akamlipia usafiri mpaka home kwao alikokuwa abaelekea. Basi wakawa wanawasiliana kila siku. Siku nyingne...
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi...
Upo sawa kabisa. Mimi ni mwanaume, ila sipendi wanawake wanyanyaswe katika ndoa. Ndoa sio jela, inapaswa kuwa paradiso kwa mume na mke kabla kifo hakijatenganisha. Uwa najiuliza nitajikiaje nikiona dada yangu au binti yangu akija kunyanyaswa? Hivyo ukiheshimu mwanamke na kumtunza vema ni heshima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.