Kwani mliambiwa huyo Asharose ni malaika wa mbinguni mwenye uwezo wote? Uwezo wa binadamu una mipaka na mpaka wa Asharose ndio huo, hivi ungepelekwa wewe ungemaliza hata wiki? Acheni hizo tumpongeze mwenzetu hata kwa kule kuthubutu na kudumu hiyo miaka mitano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.