Katika pitapita zangu nimekutana na usajili wa CDM online by lutayega,
nimevutwa sana na swaga za makamanda wa CDM kupitia JF,
Ujio wangu nadhani itakuwa pigo kwa tume ya katiba na w.malecela
na wapambe wao, ila mi nasema idumu CDM idum JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.