Wewe na Michembe mwenzako nina wasi wasi na shule zenu! Ebu twambie Ur edc.lvl kwanza! Coz sidhan kama unaweza kulopoka ujinga wako ndan ya Jm,kama shle inakutosha! Tambua Mnyika ana shule ya kutosha,yuko makini,na anajiamin kwa kila anachokiongea! Atuitaji kujua michembe aliingia Bot...
Michembe ndo jembe la ccm!! walio baki ni vilaza!! Sa kama jembe nalo kilaza zaidi ya vilaza wenzake ogopa sn iyo organization! Ina tia uruma kuona Ccm wana ongeza Majanga kwa kuwa na watu kama uyo bwana!
Uyu mh.dhaifu anadai wa tz ni vilaza kiivo?? Data za mishaara ya mwaka 2000,ajui salafu yake aina thaman tena?? Na kai aribu yeye! Awape mishaara mizuri ma Dr.,so k ulia lia!
Milembe ufai,ni India tu panafaa kwa ilo tatizo lako la kchwa!! Roma anaelimisha watu,asila mnawasha nyinyi Ccmagamba! Tena ndo mmezidisha baada ya unyama mlio mfanyia Dr.uli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.