kutokana na habari tunazozipata inaonekana kwa namna moja au nyingine serikali imehusika na tukio hili.... walikuwa wanajua wameshamuua kumbe mzima kwa hiyo napendekeza huyo dr apelekwe kutibiwa nje ya nchi kwa usalama wake ...kuepusha madhara ya kupewa sumu na hawa mafia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.