Hii update na muonekano mpya wa WhatsApp umeudhi watu wengi sana, Mark baada yakushindwa kuinunua Snapchat amekua akifanya kila namna ili Apps zake ziwe kama Snapchat, alianzia Instagram na sasa amefika WhatsApp.
Kawa watumiaji wa Android na kamama umeroot simu yako fanya hivi kurudisha...
Uko sahihi mkuu, hapo miezi kadhaa ndio kinatofautisha. Nikupe mfano Samsung Galaxy S4 ilitoka March 2013 ikaingia sokoni April, mwezi December mwaka huohuo nilinunua Samsung Galaxy S4 na ilikua na Manufacturing date ya October 2013 so utaona simu inaweza kua same model lakini ikawa na tofauti...
Mkuu manufacturing date ni tofauti na hizo zinazoandikwa kwenye mitandao, kila simu ina manufacturing date yake pekeake, mfano simu inaweza kua imetoka mwaka 2015 lakini units zikaisha kisha mwaka 2016 zikatengenezwa zingine kwa mantiki hii hizi za 2016 zitakua na manufacturing date tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.