Salaam!
ni ukweli usio pindika, kua kila mwanadamu anapitia mabadiliko na mabadiliko huwa hayana hodi, unaweza ukayapinga leo, kesho ukayakubali naamin katibuvwa itikadi atayafuta mabadiliko na alishaanza kuyatafuta tangu zamani bila kujua, siku akiona watu wote wameyapata atakuja ungana na...
Sasa hivi sisi vijana wa Arusha tunategemea kujiondoa CHADEMA na kuhamia CCM, kwa sababu CCM imeanza kumkumbuka kijana wa kitanzania na inaonyesha njia ya kutatua matatizo ya rushwa, ufisadi, makundi mbalimbali. Kama unachukia wewe chukia tu, habari ndiyo hiyo. :first:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.