.Pia ndoa ya CCM na CUF inaimarika .
ndoa ipi ilioimarika katika kundi lile la upinzani ukimtoa kessy wenye uwelewa wa mambo kujiamini na uzoefu katika mambo ya kisheria na aliejieleza vzr ni nani jibu na twaha taslima kaka CDM walipeleka mtu sie asiejua ata kujieleza CUF walistahiri kutokana...
vp ya chadema na NCCR kessy katoka NCCR au ni ndoa na CCM imeishia wapi Taslima na Kessy walistairi kushinda walijieleza vzr wanauwelewa wa mambo tofauti na komu ambae ata kujieleza awezi jamani CUF ilimchagua mtu makini na NCCR ndio maana wamevuna walicho panda.
kesho ni kesho bunge la tz linapiga kura za kuchagua wawakilishi wa bunge la east africa kwa hali inavyoendelea wawakilishi kupitia vyama vya upinzani chama cha CUF kupitia mgombea wake wakili mashuhuri ndg Twaha Taslima ndicho kinapewa nafasi kubwa ya kushinda,sababu zinazopelekea kushinda...
tatizo komu ajulikani cv haijulikani apa tunacho angalia ni sifa za mgombea si chama iv CDM hawakuona mtu mwingine isipokua komu uwezi kumfananisha na Taslima wa CUf mwanasheria nguri hapa Tz je unamfananisha na komu Dr mlindoko nae yupo ju sa tatizo si ccm tatizo lipo kwenu CDM kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.