Tuache unafiki,ni mara ngapi bajeti za nchi hii zimekuwa zikikoselewa lakini hupitishwa hivyohivyo na wabunge DHAIFU wa ccm bila kujali malalamiko ya wananchi,kulikuwa na haja gani kwa Mnyika kuanza kueleza matatizo yaleyale kilasiku yasiyosikilizwa,mh Mnyika amefanya jambo la maana kwa kueleza...
kosa akifanya mwana CDM ila likifanyika na mwana ccm ni haki kabisa,hv kati ya Lema na msh**z* Lusinde nani katukana afu viongozi wa nchi wamekaa kimya kweli tunaongozwa na kichwa-nazi!
Huyu leader wa ikulu ametokea bagamoyo kule wanapoongoza kwa mipasho na kucheza rusharoho,sishangai kwa hyo taarifa mana ndo uwezo wake ulipoishia,in Lema i trust!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.