Hongera kwa wana Arumeru Mashariki kwa kumpata mbunge kijana,hayo ni matokeo ya kampeni za kistaarabu zilizokuwa na ujumbe kuwa Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu,pia ni mafanikio ya kutojibizana na maneno ya kashfa toka vyama vingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.