Nape ni mnafiki sana na kama yeye nimkweli atwambie huyu Rz1 haya majengo anayoporomosha kwenye baadhi ya Mikoa
pesa kapata wapi kwamda mfupi wa kipindi cha utawala huu? kisha atwambie pesa tunazodanganywa kuwa walirudisha ziko wapi mbona mpaka leo mchanganuo wake hatujui wala zimefaya nini...
Kijana huu siwakati wa matusi Tekeleza Ahadi za Sera Zenu acha porojo Waswahili husema Njia ya Muongo ni Fupi.CCM
mshadanganya sana kwa sera zenu zisizotekerezeka so Tumechoka.kama unaweza punguza bei ya Mafuta punguza bei ya Vyakula acha kupoteza muda mikoani wakati wananchi maisha magumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.