Michango iliyotolewa ni mizuri, ila sina uhakika kama Mhe Mnyika anafuatilia michango hii. kama ndiyo, ni vema akafanya majumuisho na kueleza hatua atakazochukua.
:nono: Mhe Mnyika aoneshwe mradi wa maji almaarufu kama maji ya Wachina amabo umegharimu fedha nyingi lakini maji hayakutoka. Utafiti ufanywe haraka na ufumbuzi upatikane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.