Inabidi uwe na akili ya kichaa kuamini "message" kama hii. Vyuo vyote unavyovitaja karibu vyote vinatoa shahada za miaka mitatu. Hata kama tukia "assume" wote waliochaguliwa ni first years (ambao hawana hata miezi viwili) toka ambacho si rahisi kwa akili ya haraka kuwe coincidence kwa vyuo vyote...
Mbwa wewe km hivyo basi serikali ya Tanzania ingekuwa inatumia magari ya Vtz. Mbona nchi km Rwanda ambazo uchumi unafanya vizuri hawana anasa za serikali km Tanzania
Huyo Kamanda shoga atatwambia nini. Hao ndo wauza unga wa Tanzania. Pumbavu zake. Na ajue siku moja atakufa na atazikwa bila hata hayo manguo yake. Wote watakufa tu tena yawezekana atakufa kwa kifo kibaya zaidi walichotaka kimpate Dr. Ulimboka.
28th June 2012
Dk. Ulimboka atekwa apigwa nusu kufa
Muhimbili, KCMC Madaktari wataharuki
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Stephen Ulimboka, akiwa ametapakaa damu baada ya kutekwa na kupigwa vibaya na watu wasiojulikana akiwa katika gari akipelekwa...
Taarifa nilizo nazo ni kuwa Dr. Lwaitama kastaafu na hajapenda kuomba mkataba. Ikumbukwe si wote wanaostaafu hupenda kueendelea na kazi hiyo na mifano ni mingi sana. Prof. Baregu ni kwa vile aliomba mkataba lkn serikali ilimbania, ila Dr. Lwaitama hajaomba mkataba na hii si ajabu. Lkn pia...
Kwa taarifa nilizo nazo kutoka kwa mmoja wa rafiki zake wa karibu anasema yeye hajependa kuomba mkataba. Maana ukistaafu unaomba mkataba, na si wote wanaostaafu wanaendelea na kazi ya academics, wengine huamua kufanya mambo yao binafsi na mifano iko mingi. Lkn pia inawezekana ameamua kutoomba...
Najisikia fahari sana, nilichangia kwa kiasi kikubwa ushindi wa huyu mheshimiwa mbunge. Nilisafiri kutoka Dar kwenda kupiga kura kwa maana nilijiandikisha Iringa lkn kipindi uchaguzi unakaribia nilikuwa nililazimika kukatisha shughuli zangu ili kura yangu isiharibike. Pili nilishiriki...
Hivi Dkt.Bana anawapa waandishi wa habari fedha ili kila kitu wamuulize yeye au? Mbona ile idara ina wataalamu wengi wazuri wa kuchambua mambo? Naona anazidi kuonyesha kuwa vyeo vya DC vinapaswa kuondolewa maana hawa wanalipwa mishahara na serikali ili hali kazi zao ni kujenga chama.
Kwa upinzani aliye na nafasi ya kufanana na Lukuvi bungeni japo kwa mbali ni Tundu Lisu. Unahitaji kuwa maiti kutaka kulinganisha CV ya Lisu na Lukuvi!!!
ninaomba watu msichanganye fani. Huyo Bw. si mchumi kwa CV yake inavyoenyesha. Uchumi ni zaidi ya Finance. Watu wengi huwa wanachanganya hizi professions lkn kiukweli ni taaluma tofauti.
Lkn hiyo Dr. yake ina walakini kidogo.
Unamlaumu bure Tanzania ya sasa inahitaji mawaziri wa akina Magufuli au zaidi yake. Wewe unategemea km lijitu lingine limepewa mamlaka kusimamia sehemu halafu linamkwamisha afanyeje? Vinogozi wengi hawafanyi kazi na kwa vile issues nyingi ni crosscutting hata km wewe ni mchapakazi unafika mahala...
Sisi tunaujua alipataje uspika hatushangai sana! Lakini hata km ni kutimiza masharti ya mkataba aliopewa amepitiliza. Mama mzima over 60 akili hamna. MUNGU si athumani hata km si hapa duniani mbiguni utajibu na nina uhakika si miaka mingi ijayo!!!!
Wanaovaa vizuri wamelisaidia nini taifa. Akili zako ni za kitoto sana, muhimu ni kuvaa vaa la heshimu hayo mambo ya kupangilia sisi wengine hayatusu. Muhimu kwetu utendaji wa mtu. Km basi kuvaa vizuri ndo kipimo, toka 2005 hadi leo tungekuwa first world country.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.